Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Related Posts
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Hii upuzi ya unauliza dame 😂 hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴
Kuna day tulienda na alkey kwa supper 😜😜
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
