Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Demu:babe leo bata wap?? Boy:kwani wewe unataka tukale wap??? Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa Boy:acha ufala leo bata kwani uja Continue Reading..
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Ushahi argue na mutu alafu anakushow Sasa unataka kulia 😂😂😂😂😂😥💔 Walai hio kitu hainaga cameback
Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell Continue Reading..
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *