Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Unapata Dem amebeba food take away ujue amechukua ugali tatu ya 30bob na mboga ya 10bob🤣🤣🤣
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi 🤣🤣🤣🤣🤣
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *