Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Ile time ume nyandua fame na ngori ya kidogii afu utabike after a few minutes unaskiaga fame aki shuta na Continue Reading..
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *