Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
Ushahi argue na mutu alafu anakushow Sasa unataka kulia Walai hio kitu hainaga cameback
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Back in high school, I was very poor in maths during exams nilikua napata Kati ya 4% na 10%. The Continue Reading..
Sio Siri ni serious majini haya tuwezi mageniaus.. and remember to observe believe can help you to do anything you Continue Reading..
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *