Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
Kombowa wakati usilale hamka usilemahe Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Bak in skull ukiwa Dom…. we Zima stima tulale unaskia wazimu mwngne ukilala class ulkuwa umezima stima
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *