Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Unapata Dem amebeba food take away ujue amechukua ugali tatu ya 30bob na mboga ya 10bob🤣🤣🤣
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Titi taaa tete kumilife is short so smile whole still hve a chance to do so
My future wife si uje ama nifungue butchery na hizi ngombe za dowry
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *