nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Related Posts
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma
Na venye mm n bachelor 🤔nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”😂😂
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka
