nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa i love you wanasema water suprise
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *