nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Related Posts
Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile Continue Reading..
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂 Haujaenda mjengo😌 Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
Hata uwe na haraka kiasi gani…,lazima matako itabaki nyuma
