Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Related Posts
Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii)😂 Haujaenda mjengo😌 Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?
First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe… Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
