Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Related Posts
Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende. Hizi ngozi mbili zinafanana sana… Continue Reading..
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
