Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Related Posts
Form fours are like posting *”stress is over”*tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini *What goes Continue Reading..
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself campus life
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu, ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?