Umezoea Kukula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth
Niliambiwa na mwalimu wangu wa kiswahili ya kwamba ukiona mtu na makalio kubwa ujue ni ujinga amebeba hapo soo madem Continue Reading..
Ushai chunwa kinyambio na mgenge
Eti nikifa nikazikwe singida uliacha nauli kwani
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *