Zamani wasichana walipika kama mama zao
lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Related Posts
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi” A drunk man Continue Reading..
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly🙉 wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie🤪 Continue Reading..
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula😜😛😛😜
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑 Me: sisi thy mean Continue Reading..
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Na hats uwe unapenda vipi Kumenya viungo vya mboga Lakini huwezi kumenya pilipili au bamia”