Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣 Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Continue Reading..