Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Related Posts
Aki wallahi lazima 2021 time watu wacheck before tuingie sisi ,Ile dissapointment nimepata 2020 siwezi dhubutu kuingia nayo 2021😏😏😏
Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu, ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi kuzungumza kwanza? Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom
