Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *