Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1: jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya Continue Reading..
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *