Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini *What goes Continue Reading..
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni by Carlos ochieng agunda
List of names to avoid this festive season Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo 1. Mkubwa 2. Continue Reading..
* uzuri wa mtaro ni eti ukimwaga ndani kwa makosa na anze kulia unaweza ingiza kikombe na uchote….
Ile day utaenda chemist kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje