Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Related Posts
em wangu aliniambia ka ninataka Mapenzi nitumia number Bluutooth
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe😂😂😁
Her: Yoyaah Arfoza Meh: Yoyaah Her: Manjet Meh: Man ni mtu na jet ni ndege One word for Arfoza
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they Continue Reading..
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
