Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula πππππ
Related Posts
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu, ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Ushahi argue na mutu alafu anakushow Sasa unataka kulia ππππππ₯π Walai hio kitu hainaga cameback
Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile Continue Reading..
Kuishi nyumbani na mwanaume asiyekuwa na pesa ni sawa na kuishi na feniture ndani ya nyumba
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
Kwako Kuna bed switch ama unazimanga stima then unatembea hadi kwa bed Kama kipofu
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali π€£π€£
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..