Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula πππππ
Related Posts
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao. Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati,πππππππ bisha Tu mlango ntakuskia Continue Reading..