Demu:babe leo bata wap??
Boy:kwani wewe unataka tukale wap???
Demu:nataka tukale kwa hotel kubwa
Boy:acha ufala leo bata kwani uja waona kwenye banda lao wanakula ๐๐๐๐๐
Related Posts
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa Continue Reading..
Nilieka face unlock kwa simu alafu kujaribu na sura ya ngombe shags ikaitikia. Ebunidoscribe๐๐๐
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Dactari akioa nurse wanaweza zaa mgonjwa ?
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Ile day utaenda chemist ๐kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje๐ฎ๐ญ๐ญ