Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
Related Posts
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom
Ile day utaenda chemist 💊kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje🚮😭😭
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
