tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Akuna kitu tamu kama kupendwa na wazazi wako
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Uko wapi we minagawa pesa sahizi
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *