Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
akil ni nyele kila mtu ana zake
Ente itamba, yebare yesu kucwa ekidi, I luv Uganda. God z good
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Ukitaka ukwel ulizia kiundan zaidi love is poison true or false
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *