MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
akil ni nyele kila mtu ana zake
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
At I. Nyanyayako amezeeka had I akipiga miayo inalia kama mlango.
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *