karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Ujinga nini? Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari! Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
😍😍😍
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *
😍😍😍