Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Related Posts
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
Kupenda asiye kupenda ni sawa na kungoja meli Kwa uwanja wa ndege
Kombowa wakati usilale hamka usilemahe Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako
Mnakumbuka lucky dube akiimba there will be no schools anymore only prison prison mkadhani ni bangi
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro