Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Related Posts
Do not let any one to know. Am telling u a big secret. It is only between us okay. Ati Continue Reading..
Cjai ona ugonjwa mbaya kma ujinga aina tiba Tina ni kibao
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24Kila Siku.. Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge