Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Mzee alikuwa anaomba Mungu kwa bedroom na kiingereza “Thank you for Mercy, Thank you for Joy, Thank you for Grace, Continue Reading..
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi kuzungumza kwanza? Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Kuna day tulienda na alkey kwa supper 😜😜
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *