nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Continue Reading..
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Kama anaringa sana usishinde ukijisumbua tuone kama atajikula