Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile umekazwa inabidi uingine,,, then ukiwa ndani kimsee kinakam afu kinaamua kungoja utoke… Coz hauwezi taka aone hio shonde asikushuku ww unamua kutumia gazeti yako kupanguza hio shonde we unabaki hivyo
Related Posts
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini *What goes Continue Reading..
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndaniif you know you know
Mato niki refu kuliko mutura ya soko mjinga itabidi apuguzwe na rungu ya masaai
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
In your last relationship, ulikuwa impeached, ulistep down ama uliangushwa na external forces?
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ?? Me: sisi thy mean Continue Reading..
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza