Fuck maze, ile time umejipata maudenki zimekukaza then kufika kwa choo unapata kuna ninja ili kunia juu bt kulingana navile umekazwa inabidi uingine,,, then ukiwa ndani kimsee kinakam afu kinaamua kungoja utoke… Coz hauwezi taka aone hio shonde asikushuku ww unamua kutumia gazeti yako kupanguza hio shonde we unabaki hivyo
Related Posts
Kua smart bro kupeleka dame si wako out then unamdrop kwao ni Kama kuweka token kwa meter ya lodging bro
Relationship stress ekago dira o nyake seat belt ko toilet seat
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Eti nikifa nikazikwe singida👌👌 uliacha nauli kwani😆😂🤣🤣😂😂🤣🤣
List of names to avoid this festive season Ukiskia umeitwa ivi usiitike na usijaribu kusmile, ni mtegoo 1. Mkubwa 2. Continue Reading..
Madem wengi kasi ya n ya kufilter picha wapost kwa status na hawakumbuki lika yao inaelekeakumalisha ulezi
