Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell cameras to watch..
Related Posts
Dame:Babe nko na ball Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise Dame:si ivonko nimebemba Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie… Dame:Nkt
acha kujifanya huelewi Continue Reading..
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini *What goes Continue Reading..
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Eti nikifa nikazikwe singida uliacha nauli kwani
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy