Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Related Posts
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
Unapoondoka duka bila kununua chochote na unajiambia “tenda kawaida, huna hatia”
Ushai chunwa kinyambio na mgenge😂😂😂😂😃
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
