Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Related Posts
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Aahahaha ujinga n kubuy kiberitti tano n kujaribu k zote zina waka
Form fours are like posting *”stress is over”*😂tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike😂
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?😂
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know
Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
