Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Unapata Dem amebeba food take away ujue amechukua ugali tatu ya 30bob na mboga ya 10bob
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2
Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho Continue Reading..
In every man’s life kunakuaga na dem kila mtu huassume mshakulana na hamjawai Alafu kunakuaga na dem mshakulana lakini Continue Reading..
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
Msichana mmoja alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha kwa wazazi wake. Alipofika tu baba yake akagundua dosari maana mvulana alikuwa mweusi Continue Reading..