Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini *What goes Continue Reading..
Jifunze kuitambua dhahabu hata Kama ipo kwenye tope
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Kama huna pesa punguza kitambi we are tired of respecting wrong people
Kupenda usipende sanaaaa chukulia umempenda sana mwanamke halafu anakuwekea limbwata unafikiri utakuwa kwenye hali gani
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura
nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi