Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back ni kama akona alargy ya mayai. Ebu nipe advice
Related Posts
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje 🤣🤣 Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Continue Reading..
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
