I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Related Posts
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Unaniita na nambari binafsi na nitazamia mimi kuzungumza kwanza? Nadhani tutaweza kupumzika mpaka utakapoendelea
Hii upuzi ya unauliza dame hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Hanna kitu kibay kam kusengenyana na mamb mazuri ni kama urafiki
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2