I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Related Posts
Dame : konda hii belt haiingii Konda : paka mate iteleze 🤣🤣🤣
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Mpende akupendae, asiye kupenda mlazimishe akikataa mroge
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.