Wale mnaopima UKIMWI kila baada ya miezi mitatu waga mnataka nini????
Related Posts
Her: Yoyaah Arfoza Meh: Yoyaah Her: Manjet Meh: Man ni mtu na jet ni ndege One word for Arfoza
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini😂😂😂 *What goes Continue Reading..
Sijai sikia mganga anatibu nguvu za kike kwani wanawake wote mko sawa
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
