Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Eti nikifa nikazikwe singida uliacha nauli kwani
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Ukiona dem wako amekuja Kwako alaf sm yake kaweka flight mode Ujue uyo mwanamke Anakupenda Sana ataki Usumbufu Anapokuwa Na Continue Reading..
Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *