Unapata Dem amebeba food take away ujue amechukua ugali tatu ya 30bob na mboga ya 10bob🤣🤣🤣
Related Posts
Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kujulikana na mother in-law Si kuolewa,, ulizeni ex wangu😂😂😂😂
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu, ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
Today a preacher in a public bus started preaching… “Leo nataka kuwasomea barua ya Paulo kwa Warumi” A drunk man Continue Reading..
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
