Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
MSHINDI kwa damu ya Yesu.kila Aaminiye na kubatizwa ameokoka.
Hahaha wamathe wa kisumu hucompit kuongea English but hawatakagi kwambiwa hawajui
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
This is a spirit click on doubts yeah targeted Heewaa ???
Maisha ni mlima kupanda na kushuka
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *