Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
Ucnione mdogo ukaniramba kisongo mtakubwagia zongo ukushinde muhogo
Jacaylka midopa cidi ku mashqusha maxkamada halla saaro
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Mwanamke mpumbavu,hubomoa Nyumba yake mweye,mwerevu hujenga
akil ni nyele kila mtu ana zake
Ente itamba, yebare yesu kucwa ekidi, I luv Uganda. God z good
maisha ni safari ndefu yana panda na kushuka binaadamu tuwe makini
Mbaullah anavituko sana anapenda kuwa mkweli hapendagi uwongo hivyo ndivyo vituko vyake
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *