Maisha ni mlima kupanda na kushuka
naangalia maisha yangu siangalii mtu but nawapenda wote
Nilidhani usafi ni taulo kumbe sivyo hivyo
Maisha ni safari ndefu mnoo Ainaga kipimo ata siku moja Tunachopaswa kufanya ni Kutokukata tamaa ktk kila jambo.
Kama ukijua kua MTU ni watu maana MTU peke hawezi akaishi kamwe
This is a spirit click on doubts yeah targeted Heewaa ???
Usitake Leo iwe historia Ila acha historia Itakapofikia kuwa historia
tafadhali shiriki utani wako na sisi katika lugha ya swahili
Mungu yu mwema kwangu sijui kwako
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *