Day flani tukiwa chuo beste yangu amekam amenipata nje ya dinning hall nmetulia alafu akanisho hivi.
Yeye: niaje bro c unitolee form
Mimi:Ingia halo ndani ya dinning hall kuna form nyingi had zmepanguzwa utoe moja
Related Posts
Na venye mm n bachelor nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”
Kwa nini ulikubali myanyako aolewe na babu yako .naunajua wote ni wazee.umestakia kuruhusu hawa watu wawili hapa kituo cha.jongo love. Continue Reading..
Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they Continue Reading..
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni