Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali 🤣🤣
Related Posts
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge 😂😂
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
Sis:I was at UKZN n thy said thy are still pending, what do thy mean ??😯😑 Me: sisi thy mean Continue Reading..
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Ati dem wako anaforce issue kaa msee wa curfew😂😂😂
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
