Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Related Posts
Kopo la chooni ni la chooni tu,hata liwe jipya haliekwi kabatini.
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
DNA test ya durha…Buti wamehe xava byala U n’wa u langutisa nwana kahle
Huku afrika ukitaka breakfast in bed,pls kalale jikoni🙃🙃 by Carlos ochieng agunda
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Sometimes I really wonder, tulikiwa tunasoma kunyume ya nini ?
Pesa kidogo tu ukiongea unasema I mean si useme tu unamaanisha tutakuelewa mabaharia
