Her: Yoyaah Arfoza Meh: Yoyaah Her: Manjet Meh: Man ni mtu na jet ni ndege One word for Arfoza
Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino
MIMI KAMA SIMU YAKO Nataka uniheshimu.Sipendi ukiniweka kila saa kwa vibrate mode,alafu usiniweke kwa mfuko wako wa nyuma…ukinyamba wataka nifeel Continue Reading..
Hii upuzi ya unauliza dame hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why
Wakikuyu ni wasafi hati wawesi chafuwa meza kwa clap
To my future kids,Mimi Niko tayari kuwaleta duniani lakini baba yenu anangangania warembo uko inje Msinilaumu nikiwaambia tulivaa vikapu Continue Reading..
Ukila raha andaa tumbo la kula shida Ipo siku swala atamla simba
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob