Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala
Tangu nianze kula miraa 2017 hadi wa leo sijawahi lala,, inasemekana uwa nakula kama nmelala.
penda anae kupenda asiye kupenda achana nae
Na hats uwe unapenda vipi Kumenya viungo vya mboga Lakini huwezi kumenya pilipili au bamia”
Kuna dem aliniita home kwake akasema anataka nyama kwa nyama. Nikamwambia cna doo labda ugali kwa mayai. Bado ajatext back Continue Reading..
Yesu angejua vile wezi wanafanyiwa mtaanj agedhubutu kuja kama mwizi
Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *