Siasa ni kama ndoa, ikuvunjika wengi ulia sana
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Ushawahi potea njia unajipata kwa boma kwa MTU, inabidi uombe maji ya kunywa…
Do not let any one to know. Am telling u a big secret. It is only between us okay. Ati Continue Reading..
umewahi kasiliswa na mpango wa kando hadi ukataka kambia wife?
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *