Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa
😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Related Posts
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
Mtu mmoja amekimbia paka sikio lake ameguza chini
Ujinga nini? Ujinga ni pale napotoa 1 million kama mahari! Wakati aliyetoa bikra! Katulia hukoooo!
Ata uwe na haraka kiac gani lazima matako uyaache nyuma
Juz kadem nilikatext kakaniuliza nimepata wapi no yake nikakaambia nimepew offer ya namba yake na safcom
Mdomo not kubwa..chapati waikunjia nini?
Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku.. Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼