nimeiba kipimo cha mimba hosiptli nkajuwa ni flashi 🤣🤣🤣🤣🤣
Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama
Hakika umefanyika bubujiko la nafsi yangu na kunifanya kuwa wakipekee kwako also all in all when i’m feel in love Continue Reading..
Titi taaa tete kumilife is short so smile whole still hve a chance to do so
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Kombowa wakati usilale hamka usilemahe Ufalume wa mbinguni hupatikana kwabiddi sana usihishi bila kukosa lengo mahishani mwako
Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?
Unaringa unadhani nitakuwaza……unashtukia nishakusahau
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *