Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?
Related Posts
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa
Wanaume wa Siku hizi ni vigumu kuwatambua na makalio za wanawake za kila rangi now dayz ni zilipendwa
Tajiri Au Masikini Wote Tuna Masaa 24⏲️Kila Siku.. Chagua Vizuri Jinsi Ya Kutumia Muda Wako…✍🏼
ushawai kula kitu tamu hadi ukikumbuka unaanza kulamba vidole?? Mimi cjawai ?😂
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Wendawazimu walipanda basi la ghorofa wengine juu na wengine chini. Wakati basi linatembea waliopanda chini wanawauliza wa juu, huko speed Continue Reading..
Unakumbuka pale nursery ukibeba book moja na one bob kwa pocket,,history repeats itself 😂😂😂😂campus life
