Dame:Babe nko na ball
Boyie:leta tucheze futa atleast tufanye maexercise
Dame:si ivonko nimebemba
Boyie:Nini tena?… Umechoka nikusaidaie…
Dame:Nktacha kujifanya huelewi
Boyie:Bydah nani alikubuyia..??na mbona hukunxhw nikubuyie?… Dats means unancheza…. Wacha tu tuachane peacefuly…
Dame:Aky babe namaanxha nko pregnant….
Boyie:Ulitoa wapi…
Dame:Ni yako
Boyie:nlitaka ivo coz uliwa unaniringia… RINGA SASA TUONE
Dame:sawa tu….??????
Boyie:Naga nima ndukoragwa na mutwe mwega
Dame:Onawe thii okiomaga