Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔
Related Posts
Dame:beb Plic nbuyie redo ya mbao. Boy:tumiaga hiyo ya chuma kabla walete ya mbao,
Usisoee kunya peupe manyasini,utakuja donua na kuku akidhani wamutupia nyama na sima ya wimbi.
Madem wa siku izi wamekuwa kaa karao.mnakutana tao then next week uko ndani🤣😂🤣if you know you know
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini🤣
Babangu ameniita akaniuliza mjulus ni nini nikamwambia ni kijana, Sasa anashinda akiniita mjulus yangu
asiye funzwa na mamaye babake ni mwalimu
