Ile time dryspell zimeku zidy afu mnakuaga na mboch mokorino
chuki haiwezi kutoka chuki. Ni upendo pekee wenye uwezo huo
Mimi natoka Murang’a….mwalimu wetu aliniuliza, wazimu ,how do you call mosquitoes in ur language? Nikasema we dont call them, they Continue Reading..
Nmeona niende kwa mama mkwe nikaulize juu nimeona mtoto wake amekua sio mtamu tena sa hii…
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Unataka kucheza n ingali umesimama Aaaaah inama inama
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Form fours are like posting *”stress is over”*tuwaambie ukweli ama tuwaache wapumzike
Your email address will not be published. Required fields are marked *
Comment *
Name *
Email *