Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Related Posts
Niliambia caro nataka mtoto akanijibu uterus haiendi mahali nitafute pesa kwanza
karibu kenya place unabuy maziwa imelala 35 while fresh 20 bob
Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho Continue Reading..
Tusikizane vizuri,,, haikua kupenda kwangu kuishi Kwa nyumba ya mabati, ukikuja kwangu sio lazima ubishe mabati, bisha Tu mlango ntakuskia Continue Reading..
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Na venye mm n bachelor nikifa xai life history ang c itakuwa fupi;” Marehemu alizaliwa akazurura akafa”
Unakumbuka ukianza insha na…. Katika Kijiji kimoja paliondokea mtu mmoja masikini hoehae… Ona sahii we ndio huyo masikini *What goes Continue Reading..
Oyaa oyaa m uneza niita kwako ama mbogi ya xhivakala