Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui
Related Posts
Her:Beb ulisema utanipeleka tour? Joker smoker: Apana nilisema Twa Twa
First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win.- Mahatma Gandhi @wazimu mkuu
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Hii ngozi enye Mungu alitumia kutengenezea magoti nashuku ni same na ile alitumia kutengenezea makende. Hizi ngozi mbili zinafanana sana… Continue Reading..
phone yaka e wetse kara pitsa ya motepa wao fisa… i’m worried about you guys , a LA fisa ke Continue Reading..
Hii Nairobi kama hujaact setbooks Haujajaribu online jobs za global alliance (kwanza hii) Haujaenda mjengo Haujafanya promotion ya nodules ama Continue Reading..
Corona ilifanya poa ku kam 2020. Ingekam kitu 2006.. Tungekaa tu indoors na nokia 1110..tukicheza game ya manyoka..hakuna selfles ata