Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui
Related Posts
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini
Wale mlikuwa mnasema 2020 is your financial year ebu mkujie mwaka yenu na sitafadhali
Lakini sikumuacha kwa ubaya ata wewe unaeza date dem anaita njaa maunenge
Wasee wasee kwenu watu ni wengi hadi ikifika saa ya chakula unaitwa na Register
Opening of schools before bars shows government respects children more than the elderly wakati wa kura watafute hao watoto wawapigie Continue Reading..
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao. Huyu amaweka family Continue Reading..
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy