Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui😁😁😁😁😁😁
Related Posts
Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho Continue Reading..
Kama Adam na Eva walikula 🍎 apple kishe nimagum hivi je wangukula pilipili kichaaaa?
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Nimepoteza uoni kwani sion tena kitu kwenye wallet
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
Kati ya hizi mbili ni gani ya aibu: 1.Kupatwa Ukijipima viatu za mgeni. 2.mgeni akipatwa akiongezea maji ya ugali. 😂😂
Munakumbuka lucky dube akiimba,there will be no schools anymore mukadhania ni banging
Ma sister, imagine walking in heaven and all the kids you aborted be like: “Jesu nangu lo”
