Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui
Related Posts
Tangu nipikie wageni chai kwa sufuria ya omena , madhee hajawai kubali niingie jikoni
Hakuna kitu mbaya kama x wako kuku pata una tembea na Slipper’s moja ime katika umebeba mkononi
Wakati wowote mkia hautikisi ngo, mbe,ng,ombe ndo hutikisa mkia
Imagine tufike mbinguni halafu tupate kukula cuzo haikua Dhabi!!
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Lakini si mtu akibuy laini ya Airtel anafaa kupewa na jacket ya kuprevent baridi wakati anatafuta network
*Kuna cousin yangu amepata 50 out of 500. KCPE. Tunangojea alale tuhame.* Sa hii tuko maombi kwao. Huyu amaweka family Continue Reading..
Ile day utaenda chemist kubuy Mara moja upate nni mzungu cjui utamwambia aje