Uko njiani pekee yako usiku Mara unaona mtu mbele unaharakisha mwendane na yeye mnafika sehemu inayotisha Mara unasikia akisema….”mahali hapa tumefka ndo nliuawa”manze apo ndo utajua hujui😁😁😁😁😁😁
Related Posts
Unataka nizae mtoto afanane na ww baba ake kwan mm nna kifuko cha uzazi ama mashine ya photocopy 😜😜
Kumbe Tumbo ndo inanyamba Matako ni Speaker tu 😂😂
Katika maisha yako kuna kupuliza iwake na kupuliza ipoe… Lkn wengi wetu wanapokuwa wakipuliza ipoe wanajikuta wameiwasha….
To our sisters leo want to ask you this question hivi….. “what would you do if you start arguing with Continue Reading..
Ati wakaba wana peda maji adi wakiabiwa i love you wanasema water suprise
Ukiona dem wako amekuja Kwako alaf sm yake kaweka flight mode Ujue uyo mwanamke Anakupenda Sana ataki Usumbufu Anapokuwa Na Continue Reading..
nimekumbuka mitochondrion nikasahau pin ya mpesa😲🤣😋😋😋🤔😁
Et ooo babe nkupenda pekeako ukome mi sijafundishwa ivo kwenye maish kumpenda mtu 1 sina tabia izo za jini😂😂😂
