Mko kwenye sensa mara wakala anauliza mama una g’ombe hapa na mama anaanza kukuangalia wewe
Related Posts
Imagine umelala afternoon bcoz the previous night ulikuwa kesha. mara unasika knock kwa mlango, ukienda kufungua unagongwa kidole ya mwisho Continue Reading..
Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi
Kuna dem ameniuliza WHERE DID WE FIRST MEET?? Sijui nimkumbushe ile day chali yake aliniomba keja juu mm nilikuwa yule Continue Reading..
Uzuri wa kunyonga monkey unaweza adjust iwe tight ama mtaro!! Vile unataka
Hata uwe msafi vipi ukitaka kujamba huwezi vua nguo
……… ….. Maslay queen…..wanaoganga qweli juu hawapendi kugusa maji…..
Ushawai kuwa single for so long Hadi unashangaa kwani ribs yako moja ilitumika kupika supu ama Nini
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina